Tuesday, August 24, 2010

shein Pemba

WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA, WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) NA WANANCHI WA MKOA WA KASKAZINI PEMBA, WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM,DK. ALI MOHAMED SHEIN ALIPOKUWA AKIWAHUTUBIA KWENYE MKUTANO WA NDANI KATIKA UKUMBI WA HOTELI YA MBUYU MKAVU WETE PEMBA.








MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM, DK. ALI MOHAMED SHEIN AKIZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA NAFASI ZA UBUNGE, UWAKILISHI, NA UDIWANI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NA WANANCHI WA MKOA WA KASKAZINI PEMBA KATIKA UKUMBI WA HOTELI YA MBUYU MKAVU WETE PEMBA.








MKE WA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KWA TIKETI YA CCM, MAMA MWANAMWEMA SHEIN AKISALIMIANA NA WAJUMBE WA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA NA WANANCHI WA MKOA WA KUSINI PEMBA ALIPOWASILI KATIKA UKUMBI WA UMOJA NI NGUVU MKOANI PEMBA KWA AJILI YA KUWAHUTUBIA MKUTANO WA NDANI

No comments:

Post a Comment