Wednesday, August 25, 2010

malaria sugu kafungiwa ndani ya jamiiforums kwa udini, huu jee?


maada: Re: Hivi kwa nini CUF haina gazeti lake?
mchangiaji
Jile79
JF Senior Expert Member
Join Date:Thu May 2009
Posts:1,187
Thanks : 20:Thanked 163 Times in 114 PostsRep Power:24
majibu ya mchangiaji    26/8/2010
al nuur na al huda ndiyo vijarida vya cuf ndiyo maana haiwezi kuhangaika kuwa na kijarida kingine maana vilivyopo ni vya kidini na cuf ni taasisi ya kidini zaidi
 
hapa malaria sugu anapomshangaa moderator wa jamiiforums. huambiwa mdini anaposema wa dk slaa hufungiwa

No comments:

Post a Comment