Wednesday, August 25, 2010

hawa ndio wachangiaji wa jamiiforums

Kodi za kanisa ndo utendaji wake?



Dr slaa anajivunia alivyowabana wakwepa kodi wa kanisani
Je huu ndo utendaji wake
KAnisani Kuna kodi gani?
Source: Raia Mwema 25.08.2010

Hivi huyu Malartia Sugu ana aliases ngapi sasa hivi? Yaani baada ya kile kipondo cha last week?

Hebu tuorodheshe hapa:
1. JeyKey
2. Tumain
3. Antibayotiki (hii ina maana anajaribu kujitafutia dawa)
4.......???
NB: Msiwe mnafupisha Malaria Sugu kwa kutumia 'MS.' Mwandikeni kwa ID yake in full -- Malaria Sugu.

baada ya kushindwa hoja, wao huona kila mtu ms tu, lkn kwanini hiyo habari si imeandikwa na raia mwema.
ms hayumo kwenye mijadala kwa sasa katika jamiiforums kwakuwa amefungiwa. kwa hivyo sihusiki na mijadala ya jamiiforums

No comments:

Post a Comment