Nataka kuendelea kulinda uhuru wangu wa mawazo na uhuru wa kujieleza, kwani uhuru huo ni haki yangu . Na uhuru hauna kikomo, wala hakuna wakati tunapoweza kusema uhuru niliaonao unatosha. Hapana. Kila hatua inazaa matakwa mapya ya uhuru wa binadamu.
message from malaria sugu to wanajamiiforums
No comments:
Post a Comment