Monday, August 23, 2010


Nataka kuendelea kulinda uhuru wangu wa mawazo na uhuru wa kujieleza, kwani uhuru huo ni haki yangu . Na uhuru hauna kikomo, wala hakuna wakati tunapoweza kusema uhuru niliaonao unatosha. Hapana. Kila hatua inazaa matakwa mapya ya uhuru wa binadamu.
message from malaria sugu to wanajamiiforums

No comments:

Post a Comment